10/20/2005

Peter Diamandis: Ndege za Binafsi za Kwenda Sayari za Mbali

This is what happens sometimes when you have more than one blog. I wrote the post below for my primary blog, Jikomboe, but made a mistake of posting it here!
************************************************
Peter Diamandis anaongea dakika hii ninayoandika hapa. Huyu bwana kampuni yake inajihusisha na utengenezaji wa ndege za kibiashara za kibinafsi za kurusha watalii kwenda sayari za mbali. Mwaka 2001 Dennis Tito alikuwa ndio mtalii wa kwanza wa sayari za mbali. Safari za aina zinaelezewa kirefu katika kamusi elezo ya kiingereza. Bonyeza hapa.

No comments: